Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Sheikh Ridha Dosa, amefanya ziara maalum Zanzibar - Tanzania iliyoratibiwa na Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam - Tanzania kwa ajili ya Qur'an Tukufu. Ni ziara iliyoambatana na Daura fupi kwa Wanafunzi wa Qur'an Tukufu ndani ya Zanzibar - Tanzania. Ziara hii imekuwa ni ziara yenye mafanikio makubwa na Wanafunzi walifaidika zaidi upande wa Qur'an Tukufu.

18 Aprili 2025 - 18:29

Habari Pichani | Ziara ya Qur'an Tukufu, Zanzibar - Tanzania iliyofanywa na Sheikh Ridha Dosa chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) - Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha