Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Sheikh Ridha Dosa, amefanya ziara maalum Zanzibar - Tanzania iliyoratibiwa na Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam - Tanzania kwa ajili ya Qur'an Tukufu. Ni ziara iliyoambatana na Daura fupi kwa Wanafunzi wa Qur'an Tukufu ndani ya Zanzibar - Tanzania. Ziara hii imekuwa ni ziara yenye mafanikio makubwa na Wanafunzi walifaidika zaidi upande wa Qur'an Tukufu.
18 Aprili 2025 - 18:29
News ID: 1550141
Your Comment